KARIBU KATIKA JUKWAA LA KISWAHILI...MOHAMMED SAID MOHAMMED...+255 777 05 14 54 / +255 773 558 812/ +255 657 509 114.. MSINGINI MKOANI PEMBA...AHSANTENI
:::Advertise with us to make your business or program visible in all East African countries and the rest of the world - JUKWAA LA KISWAHILI.:::

Sunday, March 29, 2015

PANEL YA LEO

Nchi nyingi zilizoondelea hutumia lugha zao katika mfumo wao wote wa maisha ,mathalani wachina wameweza kukitumia kichina .jee! kiswahili kutumika  katika mfumo wa maisha ina wezekana au haiwezekani ?

No comments:

Post a Comment