Uchunguzi unaonesha kuwa, wanawake wengi hawawezi kuficha sana hisia
zao za mapenzi, lakini pia kwenye chuki hawakujaaliwa uvumilivu.
Wanasaikolojia wanakiri kwamba, kutambua mawazo yaliyomo ndani ya
mwanamke kwa kumtazama muonekano wake usoni ni rahisi kuliko mwanaume
ambaye anatajwa kuwa na uwezo kuficha mawazo yake.
Muongozo huo wa kitaalamu wa kumtambua mwanamke anayekaribia kukuacha
ni kazi rahisi, ambayo inaweza kuanzia kwenye kona ya mazoea ya tabia
zake za kila siku kwenye uhusiano wa kimapenzi. Ni imani yangu kuwa kila
mwanaume anamfahamu mpenzi wake katika sura mbili za chuki na furaha
yake.Atakuwa mwanaume wa ajabu ambaye atarudi nyumbani kwake na
kushindwa kusoma sura ya mkewe na kuj
JUKWAA LA LUGHA YA KISWAHILI
Saturday, April 4, 2015
HEKIMA NA BUSARA KWA MWANAADAM NI SILAHA YA MAISHA.
Asalaam alykum ,ndugu wasomaji wa makala hii.
lengo la makala hii ni kuwafahamisha wanajamii wawe wanatumia busara na hekima ya hali ya juu wakati wanapoyaendea maisha.Tujiulize ni wangapi katika maisha yetu wanashindwa kufanya usuluhishi mzuri wa kutatua matatizo yetu ya kimaisha kwasababu tumeikosa bilauri njema ya hekima na busra.
Tungependa kuwafahamisha wanajamii ,kwa kuanza na wanandoa wanapaswa kuwa na busara na hekima wakati wanapokuwa na wake zao .Silaha kubwa ni kuwa mvumilivu wakati wanapofikwa na matatizo ya kindoa ndani ya maisha yao ya kila kukicha.Ifahamike kwamba matatizo katika ndoa hayaepukiki ,lazima utakubwa na mtihani wa matatizo ,kinachosaidia inampasa mja awe na kifua cha kuweza kuyabeba mambo katika uvumilivu wa hali ya juu.
lengo la makala hii ni kuwafahamisha wanajamii wawe wanatumia busara na hekima ya hali ya juu wakati wanapoyaendea maisha.Tujiulize ni wangapi katika maisha yetu wanashindwa kufanya usuluhishi mzuri wa kutatua matatizo yetu ya kimaisha kwasababu tumeikosa bilauri njema ya hekima na busra.
Tungependa kuwafahamisha wanajamii ,kwa kuanza na wanandoa wanapaswa kuwa na busara na hekima wakati wanapokuwa na wake zao .Silaha kubwa ni kuwa mvumilivu wakati wanapofikwa na matatizo ya kindoa ndani ya maisha yao ya kila kukicha.Ifahamike kwamba matatizo katika ndoa hayaepukiki ,lazima utakubwa na mtihani wa matatizo ,kinachosaidia inampasa mja awe na kifua cha kuweza kuyabeba mambo katika uvumilivu wa hali ya juu.
Sunday, March 29, 2015
UBINAADAMU NA URAFIKI
Mtunzi na Mhariri wa makala hii ni Ndugu,Mohammed Said .
Awali ya yote,tunatanguliza salamu kwa kutakiana upendo na amani .Lengo la makala hii ni kuwahamasisha wanajamii hata kawa mfano wa vidole katika miili yetu; kwani kila kiungo kimoja katika miili yetu, kinahitaji&kutegemea kiungo kingine kukamilishana na kusaidiana.Tujiulize nani rafiki na yupi anafaa kuwa rafiki, na vipi inapelekea watu waishi kwa furaha,upendo na udugu kama ndugu wa familia moja (udugu wa kidamu).Mwanaadamu mfano wa matope ,hatuwezi kutamka na kuziita hizi ni tope au udongo mkavu isipokuwa baada ya kujishikamanisha na maji .Hebu tuangalie mfano wa majengo tunayoyajenga sisi wanadamu tunayajenga kutokana na vitu shikamanishi ,vilivyochanganywa mathalani tupige jicho la kiusomi tutakuta ndani yake kuna Mchanga au udongo ,maji ,saruji au
Awali ya yote,tunatanguliza salamu kwa kutakiana upendo na amani .Lengo la makala hii ni kuwahamasisha wanajamii hata kawa mfano wa vidole katika miili yetu; kwani kila kiungo kimoja katika miili yetu, kinahitaji&kutegemea kiungo kingine kukamilishana na kusaidiana.Tujiulize nani rafiki na yupi anafaa kuwa rafiki, na vipi inapelekea watu waishi kwa furaha,upendo na udugu kama ndugu wa familia moja (udugu wa kidamu).Mwanaadamu mfano wa matope ,hatuwezi kutamka na kuziita hizi ni tope au udongo mkavu isipokuwa baada ya kujishikamanisha na maji .Hebu tuangalie mfano wa majengo tunayoyajenga sisi wanadamu tunayajenga kutokana na vitu shikamanishi ,vilivyochanganywa mathalani tupige jicho la kiusomi tutakuta ndani yake kuna Mchanga au udongo ,maji ,saruji au
TAALUMA YA ISIMU
Wapenzi wanafunzi wa vyuoni ,karibuni katika somo letu la leo katika muendelezo wa kukitangaza na kukikuza kiswahili Tanzania na duniani kwa ujumla.Changi maoni yako.
MUKHTASARI WA DHANA YA TAALUMA YA ISIMU
Wanaisimu wengi wamejaribu kufasili dhana ya isimu .kwa mfano , Richards et al (1985) anasema kuwa :
MUKHTASARI WA DHANA YA TAALUMA YA ISIMU
Wanaisimu wengi wamejaribu kufasili dhana ya isimu .kwa mfano , Richards et al (1985) anasema kuwa :
PANEL YA LEO
Nchi nyingi zilizoondelea hutumia lugha zao katika mfumo wao wote wa maisha ,mathalani wachina wameweza kukitumia kichina .jee! kiswahili kutumika katika mfumo wa maisha ina wezekana au haiwezekani ?
Subscribe to:
Comments (Atom)